Al-Mu'minun · 4/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
وَالَّذِينَ هُمْ لِلزَّكَاةِ فَاعِلُونَ ۝٤
Wallazeena hum liz Zakaati faa`iloon
📖 Kwa Kiswahili
Na ambao wanatoa Zaka,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 2-6 — Al-Mu'minun

2الَّذِينَ هُمْ فِي صَلَاتِهِمْ خَاشِعُونَ
Ambao ni wanyenyekevu katika Sala zao,
3وَالَّذِينَ هُمْ عَنِ اللَّغْوِ مُعْرِضُونَ
Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi,
4وَالَّذِينَ هُمْ لِلزَّكَاةِ فَاعِلُونَ
Na ambao wanatoa Zaka,
5وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ
Na ambao wanazilinda tupu zao,
6إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
4Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 4

Sura Al-Mu'minun Aya 4 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ambao wanatoa Zaka,

Sura Aya 4/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 2–6. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema