Al-Mu'minun · 5/118
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mu'minun
وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ ۝٥
Wallazeena hum lifuroo jihim haafizoon
📖 Kwa Kiswahili
Na ambao wanazilinda tupu zao,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 3-7 — Al-Mu'minun

3وَالَّذِينَ هُمْ عَنِ اللَّغْوِ مُعْرِضُونَ
Na ambao hujiepusha na mambo ya upuuzi,
4وَالَّذِينَ هُمْ لِلزَّكَاةِ فَاعِلُونَ
Na ambao wanatoa Zaka,
5وَالَّذِينَ هُمْ لِفُرُوجِهِمْ حَافِظُونَ
Na ambao wanazilinda tupu zao,
6إِلَّا عَلَىٰ أَزْوَاجِهِمْ أَوْ مَا مَلَكَتْ أَيْمَانُهُمْ فَإِنَّهُمْ غَيْرُ مَلُومِينَ
Isipo kuwa kwa wake zao au kwa iliyo wamiliki mikono yao ya kulia. Kwani hao si wenye kulaumiwa.
7فَمَنِ ابْتَغَىٰ وَرَاءَ ذَٰلِكَ فَأُولَٰئِكَ هُمُ الْعَادُونَ
Lakini anaye taka kinyume cha haya, basi hao ndio warukao mipaka.
Al-Mu'minunFaharasa ya Qurani
118Aya
MakkaRevelation
5Aya

Tafsiri — Al-Mu'minun 5

Sura Al-Mu'minun Aya 5 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ambao wanazilinda tupu zao,

Sura Aya 5/118 — Al-Mu'minun المؤمنون (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mu'minun Sikiliza, Al-Mu'minun Tafsiri, Al-Mu'minun mp3, Al-Mu'minun pdf. Aya 3–7. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema