Ash-Shu'ara · 121/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ ۝١٢١
Inna fee zaalika la Aayaah; wa maa kaana aksaruhum mu`mineen
📖 Kwa Kiswahili
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio kuwa Waumini.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 119-123 — Ash-Shu'ara

119فَأَنجَيْنَاهُ وَمَن مَّعَهُ فِي الْفُلْكِ الْمَشْحُونِ
Kwa hivyo tukamwokoa yeye na walio kuwa pamoja naye katika marikebu iliyo sheheni.
120ثُمَّ أَغْرَقْنَا بَعْدُ الْبَاقِينَ
Kisha tukawazamisha baadaye walio bakia.
121إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio kuwa Waumini.
122وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Yeye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
123كَذَّبَتْ عَادٌ الْمُرْسَلِينَ
Kina A'd waliwakanusha Mitume.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
121Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 121

Sura Ash-Shu'ara Aya 121 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio…

Sura Aya 121/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 119–123. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema