Ash-Shu'ara · 140/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ ۝١٤٠
Wa inna Rabbaka la huwal `Azeezur Raheem
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 138-142 — Ash-Shu'ara

138وَمَا نَحْنُ بِمُعَذَّبِينَ
Wala sisi hatutaadhibiwa.
139فَكَذَّبُوهُ فَأَهْلَكْنَاهُمْ ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Wakamkanusha; nasi tukawaangamiza. Hakika bila ya shaka katika haya ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
140وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
141كَذَّبَتْ ثَمُودُ الْمُرْسَلِينَ
Kina Thamud waliwakanusha Mitume.
142إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ صَالِحٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Alipo waambia ndugu yao Saleh: Je! Hamumchimngu?
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
140Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 140

Sura Ash-Shu'ara Aya 140 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Sura Aya 140/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 138–142. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema