Ash-Shu'ara · 200/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
كَذَٰلِكَ سَلَكْنَاهُ فِي قُلُوبِ الْمُجْرِمِينَ ۝٢٠٠
Kazaalika salaknaahu fee quloobil mujrimeen
📖 Kwa Kiswahili
Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 198-202 — Ash-Shu'ara

198وَلَوْ نَزَّلْنَاهُ عَلَىٰ بَعْضِ الْأَعْجَمِينَ
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,
199فَقَرَأَهُ عَلَيْهِم مَّا كَانُوا بِهِ مُؤْمِنِينَ
Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.
200كَذَٰلِكَ سَلَكْنَاهُ فِي قُلُوبِ الْمُجْرِمِينَ
Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu.
201لَا يُؤْمِنُونَ بِهِ حَتَّىٰ يَرَوُا الْعَذَابَ الْأَلِيمَ
Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.
202فَيَأْتِيَهُم بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ
Basi itawafikia kwa ghafla, na hali hawana khabari.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
200Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 200

Sura Ash-Shu'ara Aya 200 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu.

Sura Aya 200/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 198–202. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema