Ash-Shu'ara · 69/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَاتْلُ عَلَيْهِمْ نَبَأَ إِبْرَاهِيمَ ۝٦٩
Watlu `alaihim naba-a Ibraaheem
📖 Kwa Kiswahili
Na wasomee khabari za Ibrahim.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 67-71 — Ash-Shu'ara

67إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.
68وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
69وَاتْلُ عَلَيْهِمْ نَبَأَ إِبْرَاهِيمَ
Na wasomee khabari za Ibrahim.
70إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَا تَعْبُدُونَ
Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?
71قَالُوا نَعْبُدُ أَصْنَامًا فَنَظَلُّ لَهَا عَاكِفِينَ
Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
69Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 69

Sura Ash-Shu'ara Aya 69 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wasomee khabari za Ibrahim.

Sura Aya 69/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 67–71. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema