Ash-Shu'ara · 70/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَا تَعْبُدُونَ ۝٧٠
Iz qaala li abeehi wa qawmihee maa ta`budoon
📖 Kwa Kiswahili
Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 68-72 — Ash-Shu'ara

68وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
69وَاتْلُ عَلَيْهِمْ نَبَأَ إِبْرَاهِيمَ
Na wasomee khabari za Ibrahim.
70إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَا تَعْبُدُونَ
Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?
71قَالُوا نَعْبُدُ أَصْنَامًا فَنَظَلُّ لَهَا عَاكِفِينَ
Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea.
72قَالَ هَلْ يَسْمَعُونَكُمْ إِذْ تَدْعُونَ
Akasema: Je! Yanakusikieni mnapo yaita?
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
70Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 70

Sura Ash-Shu'ara Aya 70 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?

Sura Aya 70/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 68–72. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema