Ash-Shu'ara · 68/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ ۝٦٨
Wa inna Rabbaka la Huwal `Azeezur Raheem
📖 Kwa Kiswahili
Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 66-70 — Ash-Shu'ara

66ثُمَّ أَغْرَقْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawazamisha hao wengine.
67إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.
68وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
69وَاتْلُ عَلَيْهِمْ نَبَأَ إِبْرَاهِيمَ
Na wasomee khabari za Ibrahim.
70إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَا تَعْبُدُونَ
Alipo mwambia baba yake na kaumu yake: Mnaabudu nini?
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
68Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 68

Sura Ash-Shu'ara Aya 68 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye…

Sura Aya 68/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 66–70. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema