Ash-Shu'ara · 86/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَاغْفِرْ لِأَبِي إِنَّهُ كَانَ مِنَ الضَّالِّينَ ۝٨٦
Waghfir li abeee innahoo kaana mind daalleen
📖 Kwa Kiswahili
Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 84-88 — Ash-Shu'ara

84وَاجْعَل لِّي لِسَانَ صِدْقٍ فِي الْآخِرِينَ
Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.
85وَاجْعَلْنِي مِن وَرَثَةِ جَنَّةِ النَّعِيمِ
Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
86وَاغْفِرْ لِأَبِي إِنَّهُ كَانَ مِنَ الضَّالِّينَ
Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
87وَلَا تُخْزِنِي يَوْمَ يُبْعَثُونَ
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
88يَوْمَ لَا يَنفَعُ مَالٌ وَلَا بَنُونَ
Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
86Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 86

Sura Ash-Shu'ara Aya 86 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.

Sura Aya 86/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 84–88. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema