Ash-Shu'ara · 85/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَاجْعَلْنِي مِن وَرَثَةِ جَنَّةِ النَّعِيمِ ۝٨٥
Waj`alnee minw warasati Jannnatin Na`eem
📖 Kwa Kiswahili
Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 83-87 — Ash-Shu'ara

83رَبِّ هَبْ لِي حُكْمًا وَأَلْحِقْنِي بِالصَّالِحِينَ
Mola wangu Mlezi! Nitunukie hukumu na uniunganishe na watendao mema.
84وَاجْعَل لِّي لِسَانَ صِدْقٍ فِي الْآخِرِينَ
Na unijaalie nitajwe kwa wema na watu watakao kuja baadaye.
85وَاجْعَلْنِي مِن وَرَثَةِ جَنَّةِ النَّعِيمِ
Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
86وَاغْفِرْ لِأَبِي إِنَّهُ كَانَ مِنَ الضَّالِّينَ
Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
87وَلَا تُخْزِنِي يَوْمَ يُبْعَثُونَ
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
85Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 85

Sura Ash-Shu'ara Aya 85 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.

Sura Aya 85/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 83–87. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema