Ash-Shu'ara · 87/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَلَا تُخْزِنِي يَوْمَ يُبْعَثُونَ ۝٨٧
Wa laa tukhzinee Yawma yub`asoon
📖 Kwa Kiswahili
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 85-89 — Ash-Shu'ara

85وَاجْعَلْنِي مِن وَرَثَةِ جَنَّةِ النَّعِيمِ
Na unijaalie katika warithi wa Bustani za neema.
86وَاغْفِرْ لِأَبِي إِنَّهُ كَانَ مِنَ الضَّالِّينَ
Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
87وَلَا تُخْزِنِي يَوْمَ يُبْعَثُونَ
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
88يَوْمَ لَا يَنفَعُ مَالٌ وَلَا بَنُونَ
Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.
89إِلَّا مَنْ أَتَى اللَّهَ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ
Isipo kuwa mwenye kumjia Mwenyezi Mungu na moyo safi.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
87Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 87

Sura Ash-Shu'ara Aya 87 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.

Sura Aya 87/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 85–89. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema