Fatir · 21/45
Tafsiri Uandishi wa sauti — Fatir
وَلَا الظِّلُّ وَلَا الْحَرُورُ ۝٢١
Wa laz zillu wa lal haroor
📖 Kwa Kiswahili
Wala kivuli na joto.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 19-23 — Fatir

19وَمَا يَسْتَوِي الْأَعْمَىٰ وَالْبَصِيرُ
Na kipofu na mwenye kuona hawalingani.
20وَلَا الظُّلُمَاتُ وَلَا النُّورُ
Wala giza na mwangaza.
21وَلَا الظِّلُّ وَلَا الْحَرُورُ
Wala kivuli na joto.
22وَمَا يَسْتَوِي الْأَحْيَاءُ وَلَا الْأَمْوَاتُ ۚ إِنَّ اللَّهَ يُسْمِعُ مَن يَشَاءُ ۖ وَمَا أَنتَ بِمُسْمِعٍ مَّن فِي الْقُبُورِ
Wala hawalingani walio hai na maiti. Hakika Mwenyezi Mungu humsikilizisha amtakaye. Wala wewe si wa kuwasikilizisha walio makaburini.
23إِنْ أَنتَ إِلَّا نَذِيرٌ
Hukuwa wewe ila ni mwonyaji.
FatirFaharasa ya Qurani
45Aya
MakkaRevelation
21Aya

Tafsiri — Fatir 21

Sura Fatir Aya 21 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala kivuli na joto.

Sura Aya 21/45 — Fatir فاطر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Fatir Sikiliza, Fatir Tafsiri, Fatir mp3, Fatir pdf. Aya 19–23. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema