As-Saffat · 110/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ ۝١١٠
Kazaalika najzil muhsineen
📖 Kwa Kiswahili
Hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 108-112 — As-Saffat

108وَتَرَكْنَا عَلَيْهِ فِي الْآخِرِينَ
Na tukamwachia (sifa njema) kwa watu walio kuja baadaye.
109سَلَامٌ عَلَىٰ إِبْرَاهِيمَ
Iwe salama kwa Ibrahim!
110كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.
111إِنَّهُ مِنْ عِبَادِنَا الْمُؤْمِنِينَ
Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
112وَبَشَّرْنَاهُ بِإِسْحَاقَ نَبِيًّا مِّنَ الصَّالِحِينَ
Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
110Aya

Tafsiri — As-Saffat 110

Sura As-Saffat Aya 110 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.

Sura Aya 110/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 108–112. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema