As-Saffat · 112/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَبَشَّرْنَاهُ بِإِسْحَاقَ نَبِيًّا مِّنَ الصَّالِحِينَ ۝١١٢
Wa bashsharnaahu bi Ishaaqa Nabiyayam minas saaliheen
📖 Kwa Kiswahili
Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 110-114 — As-Saffat

110كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Hivi ndivyo tunavyo walipa wanao fanya mema.
111إِنَّهُ مِنْ عِبَادِنَا الْمُؤْمِنِينَ
Hakika yeye ni katika waja wetu walio amini.
112وَبَشَّرْنَاهُ بِإِسْحَاقَ نَبِيًّا مِّنَ الصَّالِحِينَ
Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu wema.
113وَبَارَكْنَا عَلَيْهِ وَعَلَىٰ إِسْحَاقَ ۚ وَمِن ذُرِّيَّتِهِمَا مُحْسِنٌ وَظَالِمٌ لِّنَفْسِهِ مُبِينٌ
Na tukambarikia yeye na Is-haqa. Na miongoni mwa dhuriya zao walitokea wema na wenye kudhulumu nafsi zao waziwazi.
114وَلَقَدْ مَنَنَّا عَلَىٰ مُوسَىٰ وَهَارُونَ
Na kwa hakika tuliwafanyia hisani Musa na Haruni.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
112Aya

Tafsiri — As-Saffat 112

Sura As-Saffat Aya 112 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukambashiria kuzaliwa Is-haqa, naye ni Nabii miongoni mwa watu…

Sura Aya 112/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 110–114. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema