As-Saffat · 145/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
۞ فَنَبَذْنَاهُ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ سَقِيمٌ ۝١٤٥
Fanabaznaahu bil`araaa`i wa huwa saqeem
📖 Kwa Kiswahili
Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 143-147 — As-Saffat

143فَلَوْلَا أَنَّهُ كَانَ مِنَ الْمُسَبِّحِينَ
Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,
144لَلَبِثَ فِي بَطْنِهِ إِلَىٰ يَوْمِ يُبْعَثُونَ
Bila ya shaka angeli kaa ndani yake mpaka siku ya kufufuliwa.
145۞ فَنَبَذْنَاهُ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ سَقِيمٌ
Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.
146وَأَنبَتْنَا عَلَيْهِ شَجَرَةً مِّن يَقْطِينٍ
Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung'unye.
147وَأَرْسَلْنَاهُ إِلَىٰ مِائَةِ أَلْفٍ أَوْ يَزِيدُونَ
Na tulimtuma kwa watu laki moja au zaidi.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
145Aya

Tafsiri — As-Saffat 145

Sura As-Saffat Aya 145 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.

Sura Aya 145/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 143–147. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema