As-Saffat · 27/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَاءَلُونَ ۝٢٧
Wa aqbala ba`duhum `alaa ba`diny yatasaaa`aloon
📖 Kwa Kiswahili
Watakabiliana wao kwa wao kuulizana.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 25-29 — As-Saffat

25مَا لَكُمْ لَا تَنَاصَرُونَ
Mna nini? Mbona hamsaidiani?
26بَلْ هُمُ الْيَوْمَ مُسْتَسْلِمُونَ
Bali hii leo, watasalimu amri.
27وَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَاءَلُونَ
Watakabiliana wao kwa wao kuulizana.
28قَالُوا إِنَّكُمْ كُنتُمْ تَأْتُونَنَا عَنِ الْيَمِينِ
Watasema: Kwa hakika nyinyi mlikuwa mkitujia upande wa kulia.
29قَالُوا بَل لَّمْ تَكُونُوا مُؤْمِنِينَ
Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
27Aya

Tafsiri — As-Saffat 27

Sura As-Saffat Aya 27 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Watakabiliana wao kwa wao kuulizana.

Sura Aya 27/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 25–29. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema