As-Saffat · 28/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
قَالُوا إِنَّكُمْ كُنتُمْ تَأْتُونَنَا عَنِ الْيَمِينِ ۝٢٨
Qaalooo innakum kuntum taatoonanaa `anil yameen
📖 Kwa Kiswahili
Watasema: Kwa hakika nyinyi mlikuwa mkitujia upande wa kulia.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 26-30 — As-Saffat

26بَلْ هُمُ الْيَوْمَ مُسْتَسْلِمُونَ
Bali hii leo, watasalimu amri.
27وَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَاءَلُونَ
Watakabiliana wao kwa wao kuulizana.
28قَالُوا إِنَّكُمْ كُنتُمْ تَأْتُونَنَا عَنِ الْيَمِينِ
Watasema: Kwa hakika nyinyi mlikuwa mkitujia upande wa kulia.
29قَالُوا بَل لَّمْ تَكُونُوا مُؤْمِنِينَ
Watasema (wakubwa): Bali nyinyi wenyewe hamkuwa Waumini.
30وَمَا كَانَ لَنَا عَلَيْكُم مِّن سُلْطَانٍ ۖ بَلْ كُنتُمْ قَوْمًا طَاغِينَ
Sisi hatukuwa na mamlaka juu yenu, bali nyinyi wenyewe mlikuwa wapotovu.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
28Aya

Tafsiri — As-Saffat 28

Sura As-Saffat Aya 28 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Watasema: Kwa hakika nyinyi mlikuwa mkitujia upande wa kulia.

Sura Aya 28/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 26–30. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema