As-Saffat · 75/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَلَقَدۡ نَادَىٰنَا نُوحٌ فَلَنِعۡمَ ٱلۡمُجِيبُونَ  ۝٧٥
Wa laqad naadaanaa Noohun falani`mal mujeeboon
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika Nuhu alitwita, na Sisi ni bora wa waitikiaji.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 73-77 — As-Saffat

73فَٱنظُرۡ كَيۡفَ كَانَ عَٰقِبَةُ ٱلۡمُنذَرِينَ 
Basi hebu angalia ulikuwaje mwisho wa walio onywa.
74إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ 
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
75وَلَقَدۡ نَادَىٰنَا نُوحٌ فَلَنِعۡمَ ٱلۡمُجِيبُونَ 
Na hakika Nuhu alitwita, na Sisi ni bora wa waitikiaji.
76وَنَجَّيۡنَٰهُ وَأَهۡلَهُۥ مِنَ ٱلۡكَرۡبِ ٱلۡعَظِيمِ 
Na tulimwokoa yeye na ahali zake kutokana na msiba mkubwa.
77وَجَعَلۡنَا ذُرِّيَّتَهُۥ هُمُ ٱلۡبَاقِينَ 
Na tuliwajaalia dhuriya zake ndio wenye kubakia.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
75Aya

Tafsiri — As-Saffat 75

Sura Aya 75/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 73–77. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema