Sad · 56/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
جَهَنَّمَ يَصْلَوْنَهَا فَبِئْسَ الْمِهَادُ ۝٥٦
Jahannama yaslawnahaa fai`sal mihaad
📖 Kwa Kiswahili
Nayo ni Jahannamu! Wataingia humo. Nacho hicho ni kitanda kiovu mno cha kulalia.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 54-58 — Sad

54إِنَّ هَٰذَا لَرِزْقُنَا مَا لَهُ مِن نَّفَادٍ
Hakika hii ndiyo riziki yetu isiyo malizika.
55هَٰذَا ۚ وَإِنَّ لِلطَّاغِينَ لَشَرَّ مَآبٍ
Ndio hivi! Na hakika wenye kuasi bila ya shaka watapata marudio maovu kabisa;
56جَهَنَّمَ يَصْلَوْنَهَا فَبِئْسَ الْمِهَادُ
Nayo ni Jahannamu! Wataingia humo. Nacho hicho ni kitanda kiovu mno cha kulalia.
57هَٰذَا فَلْيَذُوقُوهُ حَمِيمٌ وَغَسَّاقٌ
Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya usaha!
58وَآخَرُ مِن شَكْلِهِ أَزْوَاجٌ
Na adhabu nyenginezo za namna hii.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
56Aya

Tafsiri — Sad 56

Sura Sad Aya 56 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Nayo ni Jahannamu! Wataingia humo. Nacho hicho ni kitanda kiovu…

Sura Aya 56/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 54–58. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema