Sad · 57/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
هَٰذَا فَلْيَذُوقُوهُ حَمِيمٌ وَغَسَّاقٌ ۝٥٧
Haazaa falyazooqoohu hameemunw wa ghassaaq
📖 Kwa Kiswahili
Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya usaha!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 55-59 — Sad

55هَٰذَا ۚ وَإِنَّ لِلطَّاغِينَ لَشَرَّ مَآبٍ
Ndio hivi! Na hakika wenye kuasi bila ya shaka watapata marudio maovu kabisa;
56جَهَنَّمَ يَصْلَوْنَهَا فَبِئْسَ الْمِهَادُ
Nayo ni Jahannamu! Wataingia humo. Nacho hicho ni kitanda kiovu mno cha kulalia.
57هَٰذَا فَلْيَذُوقُوهُ حَمِيمٌ وَغَسَّاقٌ
Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya usaha!
58وَآخَرُ مِن شَكْلِهِ أَزْوَاجٌ
Na adhabu nyenginezo za namna hii.
59هَٰذَا فَوْجٌ مُّقْتَحِمٌ مَّعَكُمْ ۖ لَا مَرْحَبًا بِهِمْ ۚ إِنَّهُمْ صَالُو النَّارِ
Hili ndilo kundi litakalo ingia pamoja nanyi. Hapana makaribisho mema kwao. Hakika hao wanaingia Motoni.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
57Aya

Tafsiri — Sad 57

Sura Sad Aya 57 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya…

Sura Aya 57/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 55–59. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema