Sad · 66/88
Tafsiri Uandishi wa sauti — Sad
رَبُّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا الْعَزِيزُ الْغَفَّارُ ۝٦٦
Rabbus samaawaati wal ardi wa maa bainahumal `Azeezul Ghaffaar
📖 Kwa Kiswahili
Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na viliomo baina yake, Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 64-68 — Sad

64إِنَّ ذَٰلِكَ لَحَقٌّ تَخَاصُمُ أَهْلِ النَّارِ
Hakika hayo bila ya shaka ndiyo makhasimiano ya watu wa Motoni.
65قُلْ إِنَّمَا أَنَا مُنذِرٌ ۖ وَمَا مِنْ إِلَٰهٍ إِلَّا اللَّهُ الْوَاحِدُ الْقَهَّارُ
Sema: Hakika mimi ni mwonyaji tu; na hapana mungu ila Mwenyezi Mungu Mmoja, Mtenda nguvu,
66رَبُّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا الْعَزِيزُ الْغَفَّارُ
Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na viliomo baina yake, Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe.
67قُلْ هُوَ نَبَأٌ عَظِيمٌ
Sema: Hii ni khabari kubwa kabisa.
68أَنتُمْ عَنْهُ مُعْرِضُونَ
Ambayo nyinyi mnaipuuza.
SadFaharasa ya Qurani
88Aya
MakkaRevelation
66Aya

Tafsiri — Sad 66

Sura Sad Aya 66 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na viliomo baina yake,…

Sura Aya 66/88 — Sad ص (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Sad Sikiliza, Sad Tafsiri, Sad mp3, Sad pdf. Aya 64–68. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema