Az-Zukhruf · 74/89
Tafsiri Uandishi wa sauti — Az-Zukhruf
إِنَّ الْمُجْرِمِينَ فِي عَذَابِ جَهَنَّمَ خَالِدُونَ ۝٧٤
Innal mujrimeena fee `azaabi jahannama khaalidoon
📖 Kwa Kiswahili
Kwa hakika wakosefu watakaa katika adhabu ya Jahannamu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 72-76 — Az-Zukhruf

72وَتِلْكَ الْجَنَّةُ الَّتِي أُورِثْتُمُوهَا بِمَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Na hiyo ni Pepo mliyo rithishwa kwa hayo mliyo kuwa mkiyafanya.
73لَكُمْ فِيهَا فَاكِهَةٌ كَثِيرَةٌ مِّنْهَا تَأْكُلُونَ
Mnayo humo matunda mengi mtakayo yala.
74إِنَّ الْمُجْرِمِينَ فِي عَذَابِ جَهَنَّمَ خَالِدُونَ
Kwa hakika wakosefu watakaa katika adhabu ya Jahannamu.
75لَا يُفَتَّرُ عَنْهُمْ وَهُمْ فِيهِ مُبْلِسُونَ
Hawatapumzishwa nayo na humo watakata tamaa.
76وَمَا ظَلَمْنَاهُمْ وَلَٰكِن كَانُوا هُمُ الظَّالِمِينَ
Wala Sisi hatukuwadhulumu, bali wao ndio walio kuwa madhaalimu.
Az-ZukhrufFaharasa ya Qurani
89Aya
MakkaRevelation
74Aya

Tafsiri — Az-Zukhruf 74

Sura Az-Zukhruf Aya 74 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa hakika wakosefu watakaa katika adhabu ya Jahannamu.

Sura Aya 74/89 — Az-Zukhruf الزخرف (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Az-Zukhruf Sikiliza, Az-Zukhruf Tafsiri, Az-Zukhruf mp3, Az-Zukhruf pdf. Aya 72–76. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema