Ad-Dukhan · 26/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
وَزُرُوعٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ ۝٢٦
Wa zuroo`inw wa maqaa min kareem
📖 Kwa Kiswahili
Na mimea na vyeo vitukufu!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 24-28 — Ad-Dukhan

24وَاتْرُكِ الْبَحْرَ رَهْوًا ۖ إِنَّهُمْ جُندٌ مُّغْرَقُونَ
Na iache bahari vivyo hivyo imeachana, hakika wao hao ni jeshi litakalo zamishwa.
25كَمْ تَرَكُوا مِن جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha!
26وَزُرُوعٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ
Na mimea na vyeo vitukufu!
27وَنَعْمَةٍ كَانُوا فِيهَا فَاكِهِينَ
Na neema walizo kuwa wakijistareheshea!
28كَذَٰلِكَ ۖ وَأَوْرَثْنَاهَا قَوْمًا آخَرِينَ
Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
26Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 26

Sura Ad-Dukhan Aya 26 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mimea na vyeo vitukufu!

Sura Aya 26/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 24–28. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema