Ad-Dukhan · 25/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
كَمْ تَرَكُوا مِن جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ ۝٢٥
Kam tarakoo min jannaatinw wa `uyoon
📖 Kwa Kiswahili
Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 23-27 — Ad-Dukhan

23فَأَسْرِ بِعِبَادِي لَيْلًا إِنَّكُم مُّتَّبَعُونَ
Mwenyezi Mungu akasema: Basi nenda na waja wangu usiku. Kwa yakini mtafuatwa.
24وَاتْرُكِ الْبَحْرَ رَهْوًا ۖ إِنَّهُمْ جُندٌ مُّغْرَقُونَ
Na iache bahari vivyo hivyo imeachana, hakika wao hao ni jeshi litakalo zamishwa.
25كَمْ تَرَكُوا مِن جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha!
26وَزُرُوعٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ
Na mimea na vyeo vitukufu!
27وَنَعْمَةٍ كَانُوا فِيهَا فَاكِهِينَ
Na neema walizo kuwa wakijistareheshea!
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
25Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 25

Sura Ad-Dukhan Aya 25 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha!

Sura Aya 25/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 23–27. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema