Ad-Dukhan · 27/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
وَنَعْمَةٍ كَانُوا فِيهَا فَاكِهِينَ ۝٢٧
Wa na`matin kaanoo feehaa faakiheen
📖 Kwa Kiswahili
Na neema walizo kuwa wakijistareheshea!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 25-29 — Ad-Dukhan

25كَمْ تَرَكُوا مِن جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha!
26وَزُرُوعٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ
Na mimea na vyeo vitukufu!
27وَنَعْمَةٍ كَانُوا فِيهَا فَاكِهِينَ
Na neema walizo kuwa wakijistareheshea!
28كَذَٰلِكَ ۖ وَأَوْرَثْنَاهَا قَوْمًا آخَرِينَ
Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.
29فَمَا بَكَتْ عَلَيْهِمُ السَّمَاءُ وَالْأَرْضُ وَمَا كَانُوا مُنظَرِينَ
La mbingu wala ardhi hazikuwalilia, wala hawakupewa muhula.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
27Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 27

Sura Ad-Dukhan Aya 27 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na neema walizo kuwa wakijistareheshea!

Sura Aya 27/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 25–29. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema