Qaf · 40/45
Tafsiri Uandishi wa sauti — Qaf
وَمِنَ اللَّيْلِ فَسَبِّحْهُ وَأَدْبَارَ السُّجُودِ ۝٤٠
Wa minal laili fasabbih hu wa adbaaras sujood
📖 Kwa Kiswahili
Na katika usiku pia mtakase, na baada ya kusujudu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 38-42 — Qaf

38وَلَقَدْ خَلَقْنَا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ وَمَا بَيْنَهُمَا فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ وَمَا مَسَّنَا مِن لُّغُوبٍ
Na bila ya shaka Sisi tumeziumba mbingu na ardhi na vilio baina yao mnamo siku sita; na wala hayakutugusa machofu.
39فَاصْبِرْ عَلَىٰ مَا يَقُولُونَ وَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ قَبْلَ طُلُوعِ الشَّمْسِ وَقَبْلَ الْغُرُوبِ
Basi vumilia kwa hayo wasemayo, na mtakase kwa kumsifu Mola wako Mlezi kabla ya kuchomoza jua na kabla ya kuchwa.
40وَمِنَ اللَّيْلِ فَسَبِّحْهُ وَأَدْبَارَ السُّجُودِ
Na katika usiku pia mtakase, na baada ya kusujudu.
41وَاسْتَمِعْ يَوْمَ يُنَادِ الْمُنَادِ مِن مَّكَانٍ قَرِيبٍ
Na sikiliza siku atapo nadi mwenye kunadi kutoka pahala karibu.
42يَوْمَ يَسْمَعُونَ الصَّيْحَةَ بِالْحَقِّ ۚ ذَٰلِكَ يَوْمُ الْخُرُوجِ
Siku watakapo sikia ukelele wa haki. Hiyo ndiyo siku ya kufufuka.
QafFaharasa ya Qurani
45Aya
MakkaRevelation
40Aya

Tafsiri — Qaf 40

Sura Qaf Aya 40 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na katika usiku pia mtakase, na baada ya kusujudu.

Sura Aya 40/45 — Qaf ق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Qaf Sikiliza, Qaf Tafsiri, Qaf mp3, Qaf pdf. Aya 38–42. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema