Adh-Dhariyat · 15/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ ۝١٥
Innal muttaqeena fee jannaatinw wa `uyoon
📖 Kwa Kiswahili
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 13-17 — Adh-Dhariyat

13يَوْمَ هُمْ عَلَى النَّارِ يُفْتَنُونَ
Hiyo ni siku watakayo adhibiwa Motoni.
14ذُوقُوا فِتْنَتَكُمْ هَٰذَا الَّذِي كُنتُم بِهِ تَسْتَعْجِلُونَ
Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza.
15إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
16آخِذِينَ مَا آتَاهُمْ رَبُّهُمْ ۚ إِنَّهُمْ كَانُوا قَبْلَ ذَٰلِكَ مُحْسِنِينَ
Wanapokea aliyo wapa Mola wao Mlezi. Kwa hakika hao walikuwa kabla ya haya wakifanya mema.
17كَانُوا قَلِيلًا مِّنَ اللَّيْلِ مَا يَهْجَعُونَ
Walikuwa wakilala kidogo tu usiku.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
15Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 15

Sura Adh-Dhariyat Aya 15 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.

Sura Aya 15/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 13–17. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema