Adh-Dhariyat · 43/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
وَفِي ثَمُودَ إِذْ قِيلَ لَهُمْ تَمَتَّعُوا حَتَّىٰ حِينٍ ۝٤٣
Wa fee Samooda iz qeela lahum tamatta``oo hattaa heen
📖 Kwa Kiswahili
Na katika khabari za Thamudi walipo ambiwa: Jifurahisheni kwa muda mdogo tu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 41-45 — Adh-Dhariyat

41وَفِي عَادٍ إِذْ أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمُ الرِّيحَ الْعَقِيمَ
Na katika khabari za A'di tulipo wapelekea upepo wa kukata uzazi.
42مَا تَذَرُ مِن شَيْءٍ أَتَتْ عَلَيْهِ إِلَّا جَعَلَتْهُ كَالرَّمِيمِ
Haukuacha chochote ulicho kifikia ila ulikifanya kama kilio nyambuka.
43وَفِي ثَمُودَ إِذْ قِيلَ لَهُمْ تَمَتَّعُوا حَتَّىٰ حِينٍ
Na katika khabari za Thamudi walipo ambiwa: Jifurahisheni kwa muda mdogo tu.
44فَعَتَوْا عَنْ أَمْرِ رَبِّهِمْ فَأَخَذَتْهُمُ الصَّاعِقَةُ وَهُمْ يَنظُرُونَ
Wakaasi amri ya Mola wao Mlezi. Basi uliwanyakua moto wa radi nao wanaona.
45فَمَا اسْتَطَاعُوا مِن قِيَامٍ وَمَا كَانُوا مُنتَصِرِينَ
Basi hawakuweza kusimama wala hawakuwa wenye kujitetea.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
43Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 43

Sura Adh-Dhariyat Aya 43 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na katika khabari za Thamudi walipo ambiwa: Jifurahisheni kwa muda…

Sura Aya 43/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 41–45. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema