An-Najm · 18/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
لَقَدْ رَأَىٰ مِنْ آيَاتِ رَبِّهِ الْكُبْرَىٰ ۝١٨
Laqad ra aa min aayaati Rabbihil kubraaa
📖 Kwa Kiswahili
Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 16-20 — An-Najm

16إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ
Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
17مَا زَاغَ الْبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ
Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
18لَقَدْ رَأَىٰ مِنْ آيَاتِ رَبِّهِ الْكُبْرَىٰ
Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi.
19أَفَرَأَيْتُمُ اللَّاتَ وَالْعُزَّىٰ
Je! Mmemuona Lata na Uzza?
20وَمَنَاةَ الثَّالِثَةَ الْأُخْرَىٰ
Na Manaat, mwingine wa tatu?
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — An-Najm 18

Sura An-Najm Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake…

Sura Aya 18/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema