Al-Qamar · 33/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
كَذَّبَتْ قَوْمُ لُوطٍ بِالنُّذُرِ ۝٣٣
Kazzabat qawmu lootim binnuzur
📖 Kwa Kiswahili
Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 31-35 — Al-Qamar

31إِنَّا أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ صَيْحَةً وَاحِدَةً فَكَانُوا كَهَشِيمِ الْمُحْتَظِرِ
Hakika Sisi tuliwapelekea ukelele mmoja tu, wakawa kama mabuwa ya kujengea uwa.
32وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kwa kukumbuka, lakini yupo akumbukaye?
33كَذَّبَتْ قَوْمُ لُوطٍ بِالنُّذُرِ
Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.
34إِنَّا أَرْسَلْنَا عَلَيْهِمْ حَاصِبًا إِلَّا آلَ لُوطٍ ۖ نَّجَّيْنَاهُم بِسَحَرٍ
Hakika Sisi tukawapelekea kimbunga cha vijiwe, isipo kuwa wafuasi wa Lut'i. Hao tuliwaokoa karibu na alfajiri.
35نِّعْمَةً مِّنْ عِندِنَا ۚ كَذَٰلِكَ نَجْزِي مَن شَكَرَ
Kwa neema inayo toka kwetu. Hivyo ndivyo tumlipavyo anaye shukuru.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
33Aya

Tafsiri — Al-Qamar 33

Sura Al-Qamar Aya 33 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.

Sura Aya 33/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 31–35. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema