Al-Qamar · 39/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
فَذُوقُوا عَذَابِي وَنُذُرِ ۝٣٩
Fazooqoo `azaabee wa nuzur
📖 Kwa Kiswahili
Basi onjeni adhabu na maonyo yangu!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 37-41 — Al-Qamar

37وَلَقَدْ رَاوَدُوهُ عَن ضَيْفِهِ فَطَمَسْنَا أَعْيُنَهُمْ فَذُوقُوا عَذَابِي وَنُذُرِ
Na walimtaka awape wageni wake. Tukayapofua macho yao, na tukawaambia: Onjeni basi adhabu na maonyo yangu!
38وَلَقَدْ صَبَّحَهُم بُكْرَةً عَذَابٌ مُّسْتَقِرٌّ
Na iliwafikia wakati wa asubuhi adhabu yangu ya kuendelea.
39فَذُوقُوا عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi onjeni adhabu na maonyo yangu!
40وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ
Na hakika tumeisahilisha Qur'ani kuikumbuka. Lakini yupo anaye kumbuka?
41وَلَقَدْ جَاءَ آلَ فِرْعَوْنَ النُّذُرُ
Na Waonyaji waliwafikia watu wa Firauni.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
39Aya

Tafsiri — Al-Qamar 39

Sura Al-Qamar Aya 39 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi onjeni adhabu na maonyo yangu!

Sura Aya 39/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 37–41. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema