Al-Waqi'a · 55/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
فَشَارِبُونَ شُرْبَ الْهِيمِ ۝٥٥
Fashaariboona shurbal heem
📖 Kwa Kiswahili
Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 53-57 — Al-Waqi'a

53فَمَالِئُونَ مِنْهَا الْبُطُونَ
Na kwa mti huo mtajaza matumbo.
54فَشَارِبُونَ عَلَيْهِ مِنَ الْحَمِيمِ
Na juu yake mtakunywa maji yanayo chemka.
55فَشَارِبُونَ شُرْبَ الْهِيمِ
Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.
56هَٰذَا نُزُلُهُمْ يَوْمَ الدِّينِ
Hiyo ndiyo karamu yao Siku ya Malipo.
57نَحْنُ خَلَقْنَاكُمْ فَلَوْلَا تُصَدِّقُونَ
Sisi tumekuumbeni; basi hamsadiki?
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
55Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 55

Sura Al-Waqi'a Aya 55 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tena mtakunywa kama wanavyo kunywa ngamia wenye kiu.

Sura Aya 55/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 53–57. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema