Al-Qalam · 19/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
فَطَافَ عَلَيْهَا طَائِفٌ مِّن رَّبِّكَ وَهُمْ نَائِمُونَ ۝١٩
Fataafa `alaihaa taaa`i fum mir rabbika wa hum naaa`imoon
📖 Kwa Kiswahili
Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 17-21 — Al-Qalam

17إِنَّا بَلَوْنَاهُمْ كَمَا بَلَوْنَا أَصْحَابَ الْجَنَّةِ إِذْ أَقْسَمُوا لَيَصْرِمُنَّهَا مُصْبِحِينَ
Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.
18وَلَا يَسْتَثْنُونَ
Wala hawakusema: Mungu akipenda!
19فَطَافَ عَلَيْهَا طَائِفٌ مِّن رَّبِّكَ وَهُمْ نَائِمُونَ
Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala!
20فَأَصْبَحَتْ كَالصَّرِيمِ
Likawa kama usiku wa giza.
21فَتَنَادَوْا مُصْبِحِينَ
Asubuhi wakaitana.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — Al-Qalam 19

Sura Al-Qalam Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi,…

Sura Aya 19/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema