Al-Qalam · 20/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
فَأَصْبَحَتْ كَالصَّرِيمِ ۝٢٠
Fa asbahat kassareem
📖 Kwa Kiswahili
Likawa kama usiku wa giza.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 18-22 — Al-Qalam

18وَلَا يَسْتَثْنُونَ
Wala hawakusema: Mungu akipenda!
19فَطَافَ عَلَيْهَا طَائِفٌ مِّن رَّبِّكَ وَهُمْ نَائِمُونَ
Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala!
20فَأَصْبَحَتْ كَالصَّرِيمِ
Likawa kama usiku wa giza.
21فَتَنَادَوْا مُصْبِحِينَ
Asubuhi wakaitana.
22أَنِ اغْدُوا عَلَىٰ حَرْثِكُمْ إِن كُنتُمْ صَارِمِينَ
Ya kwamba nendeni kondeni mwenu ikiwa mnataka kuvuna.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
20Aya

Tafsiri — Al-Qalam 20

Sura Al-Qalam Aya 20 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Likawa kama usiku wa giza.

Sura Aya 20/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 18–22. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema