Al-Qalam · 18/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
وَلَا يَسْتَثْنُونَ ۝١٨
Wa laa yastasnoon
📖 Kwa Kiswahili
Wala hawakusema: Mungu akipenda!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 16-20 — Al-Qalam

16سَنَسِمُهُ عَلَى الْخُرْطُومِ
Tutamtia kovu juu ya pua yake.
17إِنَّا بَلَوْنَاهُمْ كَمَا بَلَوْنَا أَصْحَابَ الْجَنَّةِ إِذْ أَقْسَمُوا لَيَصْرِمُنَّهَا مُصْبِحِينَ
Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.
18وَلَا يَسْتَثْنُونَ
Wala hawakusema: Mungu akipenda!
19فَطَافَ عَلَيْهَا طَائِفٌ مِّن رَّبِّكَ وَهُمْ نَائِمُونَ
Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala!
20فَأَصْبَحَتْ كَالصَّرِيمِ
Likawa kama usiku wa giza.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — Al-Qalam 18

Sura Al-Qalam Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala hawakusema: Mungu akipenda!

Sura Aya 18/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema