Al-Qalam · 47/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
أَمْ عِندَهُمُ الْغَيْبُ فَهُمْ يَكْتُبُونَ ۝٤٧
Am `indahumul ghaibu fahum yaktuboon
📖 Kwa Kiswahili
Au iko kwao siri, basi wao wanaiandika?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 45-49 — Al-Qalam

45وَأُمْلِي لَهُمْ ۚ إِنَّ كَيْدِي مَتِينٌ
Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara.
46أَمْ تَسْأَلُهُمْ أَجْرًا فَهُم مِّن مَّغْرَمٍ مُّثْقَلُونَ
Au unawaomba ujira, na wao wanaemewa na gharama hiyo?
47أَمْ عِندَهُمُ الْغَيْبُ فَهُمْ يَكْتُبُونَ
Au iko kwao siri, basi wao wanaiandika?
48فَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ وَلَا تَكُن كَصَاحِبِ الْحُوتِ إِذْ نَادَىٰ وَهُوَ مَكْظُومٌ
Basi ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi, wala usiwe kama mmezwa na samaki, alipo nadi naye kazongwa.
49لَّوْلَا أَن تَدَارَكَهُ نِعْمَةٌ مِّن رَّبِّهِ لَنُبِذَ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ مَذْمُومٌ
Kama isingeli mfikia neema kutoka kwa Mola wake Mlezi, bila ya shaka angeli tupwa ufukweni naye ni mwenye kulaumiwa.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
47Aya

Tafsiri — Al-Qalam 47

Sura Al-Qalam Aya 47 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Au iko kwao siri, basi wao wanaiandika?

Sura Aya 47/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 45–49. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema