Al-Haqqa · 41/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَاعِرٍ ۚ قَلِيلًا مَّا تُؤْمِنُونَ ۝٤١
Wa ma huwa biqawli shaa`ir; qaleelam maa tu`minoon
📖 Kwa Kiswahili
Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 39-43 — Al-Haqqa

39وَمَا لَا تُبْصِرُونَ
Na msivyo viona,
40إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
41وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَاعِرٍ ۚ قَلِيلًا مَّا تُؤْمِنُونَ
Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.
42وَلَا بِقَوْلِ كَاهِنٍ ۚ قَلِيلًا مَّا تَذَكَّرُونَ
Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.
43تَنزِيلٌ مِّن رَّبِّ الْعَالَمِينَ
Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
41Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 41

Sura Al-Haqqa Aya 41 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo…

Sura Aya 41/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 39–43. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema