Al-Haqqa · 42/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَلَا بِقَوْلِ كَاهِنٍ ۚ قَلِيلًا مَّا تَذَكَّرُونَ ۝٤٢
Wa laa biqawli kaahin; qaleelam maa tazakkaroon
📖 Kwa Kiswahili
Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 40-44 — Al-Haqqa

40إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwa hakika hii ni kauli iliyo letwa na Mjumbe mwenye hishima.
41وَمَا هُوَ بِقَوْلِ شَاعِرٍ ۚ قَلِيلًا مَّا تُؤْمِنُونَ
Wala si kauli ya mtunga mashairi. Ni machache sana mnayo yaamini.
42وَلَا بِقَوْلِ كَاهِنٍ ۚ قَلِيلًا مَّا تَذَكَّرُونَ
Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.
43تَنزِيلٌ مِّن رَّبِّ الْعَالَمِينَ
Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
44وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
42Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 42

Sura Al-Haqqa Aya 42 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.

Sura Aya 42/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 40–44. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema