Al-Haqqa · 46/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ ۝٤٦
Summa laqata`naa minhul wateen
📖 Kwa Kiswahili
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 44-48 — Al-Haqqa

44وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,
45لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
46ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
47فَمَا مِنكُم مِّنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
48وَإِنَّهُ لَتَذْكِرَةٌ لِّلْمُتَّقِينَ
Kwa hakika hii ni mawaidha kwa wachamngu.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
46Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 46

Sura Al-Haqqa Aya 46 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!

Sura Aya 46/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 44–48. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema