Al-Haqqa · 45/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ ۝٤٥
La-akhaznaa minhu bilyameen
📖 Kwa Kiswahili
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 43-47 — Al-Haqqa

43تَنزِيلٌ مِّن رَّبِّ الْعَالَمِينَ
Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
44وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,
45لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
46ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
47فَمَا مِنكُم مِّنْ أَحَدٍ عَنْهُ حَاجِزِينَ
Na hapana yeyote katika nyinyi ambaye angeli weza kutuzuia.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
45Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 45

Sura Al-Haqqa Aya 45 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,

Sura Aya 45/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 43–47. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema