Al-Ma'arij · 19/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
۞ إِنَّ الْإِنسَانَ خُلِقَ هَلُوعًا ۝١٩
Innal insaana khuliqa haloo`aa
📖 Kwa Kiswahili
Hakika mtu ameumbwa na papara.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 17-21 — Al-Ma'arij

17تَدْعُو مَنْ أَدْبَرَ وَتَوَلَّىٰ
Utamwita kila aliye geuza mgongo na akageuka.
18وَجَمَعَ فَأَوْعَىٰ
Na akakusanya mali, kisha akayahifadhi.
19۞ إِنَّ الْإِنسَانَ خُلِقَ هَلُوعًا
Hakika mtu ameumbwa na papara.
20إِذَا مَسَّهُ الشَّرُّ جَزُوعًا
Inapo mgusa shari hupapatika.
21وَإِذَا مَسَّهُ الْخَيْرُ مَنُوعًا
Na inapo mgusa kheri huizuilia.
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 19

Sura Al-Ma'arij Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika mtu ameumbwa na papara.

Sura Aya 19/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema