Nuh · 14/28
Tafsiri Uandishi wa sauti — Nuh
وَقَدْ خَلَقَكُمْ أَطْوَارًا ۝١٤
Wa qad khalaqakum at waaraa
📖 Kwa Kiswahili
Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 12-16 — Nuh

12وَيُمْدِدْكُم بِأَمْوَالٍ وَبَنِينَ وَيَجْعَل لَّكُمْ جَنَّاتٍ وَيَجْعَل لَّكُمْ أَنْهَارًا
Na atakupeni mali na wana, na atakupeni mabustani na atakufanyieni mito.
13مَّا لَكُمْ لَا تَرْجُونَ لِلَّهِ وَقَارًا
Mna nini hamweki heshima ya Mwenyezi Mungu?
14وَقَدْ خَلَقَكُمْ أَطْوَارًا
Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?
15أَلَمْ تَرَوْا كَيْفَ خَلَقَ اللَّهُ سَبْعَ سَمَاوَاتٍ طِبَاقًا
Kwani hamwoni jinsi Mwenyezi Mungu alivyo ziumba mbingu saba kwa matabaka?
16وَجَعَلَ الْقَمَرَ فِيهِنَّ نُورًا وَجَعَلَ الشَّمْسَ سِرَاجًا
Na akaufanya mwezi ndani yake uwe nuru, na akalifanya jua kuwa taa?
NuhFaharasa ya Qurani
28Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — Nuh 14

Sura Nuh Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hali Yeye kakuumbeni daraja baada ya daraja?

Sura Aya 14/28 — Nuh نوح (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Nuh Sikiliza, Nuh Tafsiri, Nuh mp3, Nuh pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema