Al-Muzzammil · 7/20
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muzzammil
إِنَّ لَكَ فِي النَّهَارِ سَبْحًا طَوِيلًا ۝٧
Inna laka fin nahaari sabhan taweelaa
📖 Kwa Kiswahili
Kwani hakika mchana una shughuli nyingi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 5-9 — Al-Muzzammil

5إِنَّا سَنُلْقِي عَلَيْكَ قَوْلًا ثَقِيلًا
Hakika Sisi tutakuteremshia kauli nzito.
6إِنَّ نَاشِئَةَ اللَّيْلِ هِيَ أَشَدُّ وَطْئًا وَأَقْوَمُ قِيلًا
Hakika kuamka usiku kunawafikiana zaidi na moyo, na maneno yake yanatua zaidi.
7إِنَّ لَكَ فِي النَّهَارِ سَبْحًا طَوِيلًا
Kwani hakika mchana una shughuli nyingi.
8وَاذْكُرِ اسْمَ رَبِّكَ وَتَبَتَّلْ إِلَيْهِ تَبْتِيلًا
Na lidhukuru jina la Mola wako Mlezi, na ujitolee kwake kwa ukamilifu.
9رَّبُّ الْمَشْرِقِ وَالْمَغْرِبِ لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ فَاتَّخِذْهُ وَكِيلًا
Mola Mlezi wa mashariki na magharibi, hapana mungu isipo kuwa Yeye, basi mfanye kuwa Mtegemewa wako.
Al-MuzzammilFaharasa ya Qurani
20Aya
MakkaRevelation
7Aya

Tafsiri — Al-Muzzammil 7

Sura Al-Muzzammil Aya 7 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwani hakika mchana una shughuli nyingi.

Sura Aya 7/20 — Al-Muzzammil المزمل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muzzammil Sikiliza, Al-Muzzammil Tafsiri, Al-Muzzammil mp3, Al-Muzzammil pdf. Aya 5–9. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema