Al-Qiyama · 27/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
وَقِيلَ مَنْ ۜ رَاقٍ ۝٢٧
Wa qeela man raaq
📖 Kwa Kiswahili
Na pakasemwa: Nani wa kumganga?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 25-29 — Al-Qiyama

25تَظُنُّ أَن يُفْعَلَ بِهَا فَاقِرَةٌ
Zitajua ya kuwa zitafikiwa na livunjalo uti wa mgongo.
26كَلَّا إِذَا بَلَغَتِ التَّرَاقِيَ
La, hasha! (Roho) itakapo fikia kwenye mafupa ya koo,
27وَقِيلَ مَنْ ۜ رَاقٍ
Na pakasemwa: Nani wa kumganga?
28وَظَنَّ أَنَّهُ الْفِرَاقُ
Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
29وَالْتَفَّتِ السَّاقُ بِالسَّاقِ
Na utapo ambatishwa muundi kwa muundi,
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
27Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 27

Sura Al-Qiyama Aya 27 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na pakasemwa: Nani wa kumganga?

Sura Aya 27/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 25–29. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema