Al-Qiyama · 28/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
وَظَنَّ أَنَّهُ الْفِرَاقُ ۝٢٨
Wa zanna annahul firaaq
📖 Kwa Kiswahili
Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
🎧 Sikiliza

📜 Aya 26-30 — Al-Qiyama

26كَلَّا إِذَا بَلَغَتِ التَّرَاقِيَ
La, hasha! (Roho) itakapo fikia kwenye mafupa ya koo,
27وَقِيلَ مَنْ ۜ رَاقٍ
Na pakasemwa: Nani wa kumganga?
28وَظَنَّ أَنَّهُ الْفِرَاقُ
Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;
29وَالْتَفَّتِ السَّاقُ بِالسَّاقِ
Na utapo ambatishwa muundi kwa muundi,
30إِلَىٰ رَبِّكَ يَوْمَئِذٍ الْمَسَاقُ
Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
28Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 28

Sura Al-Qiyama Aya 28 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mwenyewe akajua kwa hakika kuwa huko ndiko kufariki;

Sura Aya 28/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 26–30. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema