Al-Qiyama · 36/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
أَيَحْسَبُ الْإِنسَانُ أَن يُتْرَكَ سُدًى ۝٣٦
Ayahsabul insaanu anyytraka sudaa
📖 Kwa Kiswahili
Ati anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 34-38 — Al-Qiyama

34أَوْلَىٰ لَكَ فَأَوْلَىٰ
Ole wako, ole wako!
35ثُمَّ أَوْلَىٰ لَكَ فَأَوْلَىٰ
Kisha Ole wako, ole wako!
36أَيَحْسَبُ الْإِنسَانُ أَن يُتْرَكَ سُدًى
Ati anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure?
37أَلَمْ يَكُ نُطْفَةً مِّن مَّنِيٍّ يُمْنَىٰ
Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?
38ثُمَّ كَانَ عَلَقَةً فَخَلَقَ فَسَوَّىٰ
Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 36

Sura Al-Qiyama Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ati anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure?

Sura Aya 36/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema