Al-Qiyama · 37/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
أَلَمْ يَكُ نُطْفَةً مِّن مَّنِيٍّ يُمْنَىٰ ۝٣٧
Alam yaku nutfatam mim maniyyiny yumnaa
📖 Kwa Kiswahili
Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 35-39 — Al-Qiyama

35ثُمَّ أَوْلَىٰ لَكَ فَأَوْلَىٰ
Kisha Ole wako, ole wako!
36أَيَحْسَبُ الْإِنسَانُ أَن يُتْرَكَ سُدًى
Ati anadhani binaadamu kuwa ataachwa bure?
37أَلَمْ يَكُ نُطْفَةً مِّن مَّنِيٍّ يُمْنَىٰ
Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?
38ثُمَّ كَانَ عَلَقَةً فَخَلَقَ فَسَوَّىٰ
Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.
39فَجَعَلَ مِنْهُ الزَّوْجَيْنِ الذَّكَرَ وَالْأُنثَىٰ
Kisha akamfanya namna mbili, mwanamume na mwanamke.
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
37Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 37

Sura Al-Qiyama Aya 37 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwani hakuwa yeye tone ya manii lilio shushwa?

Sura Aya 37/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 35–39. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema