Al-Qiyama · 40/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
أَلَيْسَ ذَٰلِكَ بِقَادِرٍ عَلَىٰ أَن يُحْيِيَ الْمَوْتَىٰ ۝٤٠
Alaisa zaalika biqaadirin `alaaa any yuhyiyal mawtaa
📖 Kwa Kiswahili
Je! Huyo hakuwa ni Muweza wa kufufua wafu?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 38-40 — Al-Qiyama

38ثُمَّ كَانَ عَلَقَةً فَخَلَقَ فَسَوَّىٰ
Kisha akawa kidonge cha damu, tena Mwenyezi Mungu akamuumba na akamtengeneza vilivyo.
39فَجَعَلَ مِنْهُ الزَّوْجَيْنِ الذَّكَرَ وَالْأُنثَىٰ
Kisha akamfanya namna mbili, mwanamume na mwanamke.
40أَلَيْسَ ذَٰلِكَ بِقَادِرٍ عَلَىٰ أَن يُحْيِيَ الْمَوْتَىٰ
Je! Huyo hakuwa ni Muweza wa kufufua wafu?
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
40Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 40

Sura Al-Qiyama Aya 40 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Je! Huyo hakuwa ni Muweza wa kufufua wafu?

Sura Aya 40/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 38–40. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema