An-Nazi'at · 45/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
إِنَّمَا أَنتَ مُنذِرُ مَن يَخْشَاهَا ۝٤٥
Innamaaa anta munziru maiy yakshaahaa
📖 Kwa Kiswahili
Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kuikhofu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 43-46 — An-Nazi'at

43فِيمَ أَنتَ مِن ذِكْرَاهَا
Una nini wewe hata uitaje?
44إِلَىٰ رَبِّكَ مُنتَهَاهَا
Kwa Mola wako Mlezi ndio mwisho wake.
45إِنَّمَا أَنتَ مُنذِرُ مَن يَخْشَاهَا
Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kuikhofu.
46كَأَنَّهُمْ يَوْمَ يَرَوْنَهَا لَمْ يَلْبَثُوا إِلَّا عَشِيَّةً أَوْ ضُحَاهَا
Ni kama kwamba wao siku watapo iona (hiyo Saa) hawakukaa ila jioni moja tu, au mchana wake.
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
45Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 45

Sura An-Nazi'at Aya 45 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kuikhofu.

Sura Aya 45/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 43–46. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema