An-Nazi'at · 46/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
كَأَنَّهُمْ يَوْمَ يَرَوْنَهَا لَمْ يَلْبَثُوا إِلَّا عَشِيَّةً أَوْ ضُحَاهَا ۝٤٦
Ka annahum Yawma yarawnahaa lam yalbasooo illaa `ashiyyatan aw duhaahaa
📖 Kwa Kiswahili
Ni kama kwamba wao siku watapo iona (hiyo Saa) hawakukaa ila jioni moja tu, au mchana wake.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 44-46 — An-Nazi'at

44إِلَىٰ رَبِّكَ مُنتَهَاهَا
Kwa Mola wako Mlezi ndio mwisho wake.
45إِنَّمَا أَنتَ مُنذِرُ مَن يَخْشَاهَا
Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kuikhofu.
46كَأَنَّهُمْ يَوْمَ يَرَوْنَهَا لَمْ يَلْبَثُوا إِلَّا عَشِيَّةً أَوْ ضُحَاهَا
Ni kama kwamba wao siku watapo iona (hiyo Saa) hawakukaa ila jioni moja tu, au mchana wake.
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
46Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 46

Sura An-Nazi'at Aya 46 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ni kama kwamba wao siku watapo iona (hiyo Saa) hawakukaa…

Sura Aya 46/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 44–46. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema